Posts

ENGINEER WA TWITTER AFUNGUKA(Elon analindwa mpaka chooni)

Image
 Engineer wa Twitter ambaye hakutaka jina lake liwekwe wazi kaimbia BBC mmiliki wa Twitter Billionaire Elon Musk analindwa na kusindikizwa kila mahali hadi chooni na madodyguard wawili mabaunsa waliopanda hewani. Elon Musk pua kamuongezea ulinzi baba yake nyumbani kwake Africa kusini kwa kumzungushia zaidi fensi ya umeme na walinzi wenye silaha za moto masaa 24. Kipindi cha chuma baba yake Elon muska aliwaua kwa risasi vibaka wawili waliojaribu kuiba TV nyumbani kwake Cape town south Africa

FAHAMU MAAJABU YA CODE ZA SIRI ZA SMARTPHONE (2020)

Image
  >>>Nadhani  unafahamu  baadhi  ya  UssD  code  kwenye  simu yako  ambazo  lengo  lake  kubwa  ni  kwa ajili ya  Shortcut  au  njia  ya  mkato  Hii  maana  ake  ni  kwamba  code    hizi  zimewekwa  ili  kurahisisha  matumizi  ya  simu >>>Hii  maana  ake   n i  kwamba  mtumiaji  hana  haja  ya  kuzunguka  kwenye  Application  mbalimbali  mfano  mtu  anataka  abadilishe  Wallpaper  kwenye  simu  yake  ni  lazima  afungue  settings,Lakini  kuna  code  maalumu  ambazo  ukiweka  tu  apoapo utaweza  kubadili   muonekano  wa  screen yako  kama   unavyotaka   >>>Pia   bonyeza hapa   kama  umekuwa  ukisikia  kwamba  kuna  code  zinawezesha  kusikiliza  mazungumzo  ya  watu   wawili   kwenye  simu  bila  wao  kujua  pia  swala  ilo  tumelielezea  kwa  kina  jinsi  ya  kutumia  code  izo  kupata  mawasiliano  ya   watu,Unachotakiwa  kufanya  ni  kutazama  video  hii  hapa  chini  kwa  maelezo  ya  kina  juu  ya  swala  ilo  >>> ONYO: Kabla   hujajaribu  code 

IFAHAMU DAWA YA KUTIBU NGUVU ZA KIUME BILA MADHARA YOYOTE (2020)

Image
>>>Naam  karibu  tena  mdau  tuelimika  kwa  pamoja,Bila  shaka  umekua  ukisikia,kuambiwa  au  kuona  Tatizo  la  nguvu  za  kiume,Ukizunguka  mitaani  utaona  mavbango  ya  waganga  wa  kutibu  tatizo  ili  kama   haitoshi  ukiangalia  kwenye  mitandao  ya  kijamii   pia  utaona  matangazo  haya  ya    dawa  za  nguvu  za  kiume.yote  tisa  la  kumi  ni  kwamba  tatizo  ili  ni  kubwa  na  linazidi  kukua  kila  siku  mbaya  zaidi  amna tiba  mbadala  wa  tatizo  ili. >>>Pia  tatizo  ili  sio  tu  kwa  Tanzania  bali  ni  kwa  dunia  nzima,yapo  mambo  mengi  yanayosababisha  kuongezeka  kwa    tatizo  ili    lakini  sababu  kuu  ni   Utandawazi  kwa  kile  kinachodaiwa  ni  kutokana  na  mapinduzi  ya  kidigitali,Sasa  tuangalie  kwa  ufupi   chanzo,madhara  na  tiba  ya  tatizo  ili soma: MAMBO 10 YA KUZINGATIA KATIKA MAISHA YAKO YOTE NINI  MAANA  YA  NGUVU  ZA  KIUME? >>>Kitaalamu  ni  matatizo  ya  mwili  wa  mwanaume  yanayosababisha  kudhorota 

JINSI YA KUONDOA VIRUS KWENYE PC/COMPUTER YAKO KWA DAKIKA 3 TU

Image
  >>>Kama   wewe   ni  mtumiaji  wa  kompyuta   basi  natumai  umekua  ukipata   matatizo   mara  chache  au  mara  nyingi  katika  kompyuta  yako.Moja  ya  Matatizo  ya  kompyuta   ni  kukumbwa  na  Virus.Virus  izi  zinaweza  kusababisha  maadhara   mengi   sana  katika  kifaa  kilichoathirika. .JE WAJUA? >>>Virus   ni  programm(code) zilizotengenezwa  maalumu  kwa  uharibifu.hivyo  hazina  tofauti  na   virus   katika  wanyama  na  mimea,kwani  virus  zinapoingia  kwenye   damu  au  mwili  wa  mtu  hupambana  na  cell  za  Ulinzi (white  blood cell)   ambazo  ndio  zinapambana   na  magonjwa   mbalimbali     hivyo  kupelekea  mwili  wa  muathirika  kupata   magonjwa  mengi  zaidi  ndani  ya  mda  mchache  tu. >>>Kwaio  ndivyohivyo  Virus  huathiri  kifaa  chako  na  kupelekea   kupata  matatizo  mengi  zaidi  ndani  ya  mda  mchache.Madhara   ya  kuwa  na  Virus  katika  kompyuta  yako  ni  kwamba. 1.Inapunguza  kasi  ya  compyuta   yako,Virus   zinaweza 

TENGENEZA PESA MTANDAONI KWA KUSIKILIZA MIZIKI TU 2020

Image
  >>>(Mtafutaji  hachoki,kutafuta)Ndivyo  wahenga  wasemavyo.Kama  tunavyojua  kutafuta   pesa  ni  jambo  muhimu  sana   katika  maisha   ili  kujijengea   msingi  mzuri  wa  maisha  ya  baadae,Hivyo  watu   wanapambana  Usiku  na  mchana   kujitaftia   ridhiki, . >>>Kwa   bahati  mbaya   pesa   zimekua     ngumu  sana   tena  sana  kuzipata  lakini    daima   Mtafutaji  hachoki,Ndio   inapokuja   Blog   yetu  hii  ambayo  itakusaidia  wewe  mpambanaji   kutafuta   pesa  kwa   njia  mbalimbali    mtandaoni . >>>Basi  moja  kwa  moja   tuangalie    ni  namna  gani   unavyoweza   kutengeneza  pesa  kwa  kusikiliza   miziki   tu  mtandaoni soma: JINSI YA KUTENGENEZA PESA KWA KUUZA PICHA TU MTANDAONI >>>Njia   hii   ni  rahisi     na  pia  haitokufanya  uwe tajiri  bali  zitakuongezea   kipato   chako   ili   uweze   kutimiza  mahitaji  muhimu   katika  maisha  yako,Sasa   moja  kwa  moja   ili   uanze   kutengeneza   pesa   Tazama   video   hi

TENGENEZA PESA KWA KUUZA PICHA MTANDAONI(2020)

Image
  >>>Naam  karibu  tena    mdau  kama  wewe   utakua  mmoja  wa  watu  wanaopenda  kukuza  vipato  kwa  kutengeneza  pesa   mtandaoni   basi  amini  kuna  njia   nyingi  sana  unazoweza  kuzitumia   kukamilisha/kufanikisha  ndoto  zako. >>>Mtandao  unanjia  nyingi   sana   licha  ya  kwamba   unaturahisishia  mawasiliano  lakini   ukiiutazama  kwa  jicho  la  tatu    kuna  fursa  nyingi   sana  ambazo  ukiweka  Nia  ya  kuzifanya  utazifanya  na  Utafanikiwa   kutokana  na  Juhudi  zako   mwenyewe. soma: JINSI YA KUPATA MESEJI ZA WHATSAPP ZA MTU YOYOTE BILA YEYE KUJUA. >>> Sasa  Leo   tutaoneshana    jinsi  unavyoweza  kutengeneza  pesa  mtandaoni  kwa  kazi  ndogo  tu  ya  kuweka  picha  zako  sokoni >>>Ondoa  shaka   sio   lazima  kuuza  picha  zako  halisi   ila  kama  wewe  ni   mpiga  picha  mzuri   unaweza  kupiga   picha  za   1.Vyakula 2.Miji(mjini,Magorofa  n.k) 3.Vivutio(mbuga  za  wanyama,milima  n.k) 4.Vifaa(Laptop,spana,scre

JINSI YA KUTENGENEZA BLOG/TOVUTI BURE NA RAHISI (2020)

Image
  >>> Karibu  tena  kama  wewe   ni  mmoja  wa  watu  unaependa  kumiliki  blog  yako  basi  leo   nakukaribisha  katika   nakala  hii  tutangalia  ni  jinsi  gani  unaweza  kutengeneza   blog  au  tovuti  yako  kiurahisi   kabisa   >>>Zamani  kidogo  ilikua  ngumu  sana  kumiliki  tovuti    bila  ya   kuwa  na  uelewa  au   Taaluma  ya  kompyuta(Kama  vile  I.T  na  Computer  science)n   lakini  kutokana  na   umuhimu  wa  tovuti   kwa  wadau  mbalimbali  hasahasa  wafanyabiashara   Ilionekana  Tovuti  inaumuhimu  sana  ivyo  wakaleta  njia  mbalimbali  rahisi  unazoweza  kuzitumia, haraka  na  rahisi  ili  kuwazesha  watu  hata  ambao  hawana  taaluma  za  kompyuta  kutengeneza  tovuti  zao  binafsi JE  UNAUJUA  UMUHIMU  WA  KUWA  NA  BLOG   >.>>Naam  kuna  faida   nyingi  sana  za  kuwa  na  blog,Faida  chache  ni  kama  hizi  zifuatazo 1.KUKUZA  BIASHARA  YAKO >>> wote   tunajua  habari  za  uyu  bwana  aitwae  JEFF  BESOZ    uyu  ni  kiumbe  wak

MAMBO MUHIMU UNAYOPASWA KUYAFAHAMU KWENYE MAISHA 2020

Image
  >>> Ndugu   msomaji   katika  maisha  tunayoishi   kuna  mambo   muhimu  sana  ambayo  wengi   hatuyafahamu   lakini   kupitia  blog  hii  yenye  lengo   la   kutoa  elimu   juu  ya  nyanja   mbalimbali  za  maisha   utaweza   kuyafahamu   mambo   mengi   na  ya  msingi   katika  maisha. >>>Mambo   ya  muhimu  kuyazingatia  katika  maisha  ni  haya  yafuatayo  soma  kwa  makini  kisha  toa   maoni  yako   hapo  chini 1.UKITAKA  MAFANIKIO   USIWAAMBIE  WATU  MALENGO  YAKO >>>Amini   usiamini   ukitaka  mipango  yako  ya  mafanikio  kwenda  vizuri  basi  jifunze  kukaa  limya  sio  kila  unaekutana  nae  unamsimulie    mipango  yako  sisi   binadamu  tuna  roho  ya  husuda   kuna  watu  unaowasimulia   malengo  yako    lakini  mioyo  yao  haifurahii   mafanikio  yako   kwaio  roho  izi  za  husuda   na  husuda   ndizo  zitakazokuangusha   fanya  mambo  yako  kwa  siri  rafiki  UTAFANIKIWA   2.WAKATI  MWINGINE  UONGO  NI  BORA  KULIKO  UKWELI  >>>Japo