ENGINEER WA TWITTER AFUNGUKA(Elon analindwa mpaka chooni)

Image
 Engineer wa Twitter ambaye hakutaka jina lake liwekwe wazi kaimbia BBC mmiliki wa Twitter Billionaire Elon Musk analindwa na kusindikizwa kila mahali hadi chooni na madodyguard wawili mabaunsa waliopanda hewani. Elon Musk pua kamuongezea ulinzi baba yake nyumbani kwake Africa kusini kwa kumzungushia zaidi fensi ya umeme na walinzi wenye silaha za moto masaa 24. Kipindi cha chuma baba yake Elon muska aliwaua kwa risasi vibaka wawili waliojaribu kuiba TV nyumbani kwake Cape town south Africa

JINSI YA KURUDISHA NAMBA ZA SIMU ZILIZOFUTIKA/ZILIZOPOTEA

                       





>>>Naam   mjumbe  kama  bango  linavyosomeka  Leo    nataka  nikuoneshe  jinsi  ya  kurudisha  namba  za  watu  muhimu  ulizowai  kuzifuta  au  kupoteza  tangia  unaanza  kutumia  simu  janja(Smartphone)


>>>Pengine  umepoteza  namba  za  watu  muhimu  katika  maisha  yako  na  umeshindwa  kuzipata   basi  Leo  ntakuonesha   njia  rahisi  ambazo  unaweza  kuzifata  na  kurudisha   namba  zako  muhimu  sana  

1.RUDISHA  NAMBA  ZILIZOPOTEA  KUPITIA  GOOGLE

How To Restore Lost Or Deleted Contacts On Android





>>>Hii  ni  njia  iliozoeleka   unaweza  kurudisha  namba  zako  kupitia  google  chakufanya   bonyeza hapa  ili   kuona   namba   ulizozisave  kwa  google  account  endapo  siku   utapoteza  simu  au  namba  basi  utazipata  kiurahisi  kupitia  google



2.RUDISHA  NAMBA  ZOTE  KWA  KUTUMIA  FACEBOOK
How to Sync Facebook Contacts to Phone



>>>Hii  ndio  njia  bora  kabisa  kama  wewe  uliwahi  kutumia  mtandao  wa  facebook   basi  ondoa  shaka  namba  zako  za  watu  muhimu  na  ata  namba  za  michepuko  wako  utazipata  bila  shida  yoyote   


>>>Hii   ni   njia  nzuri   sana  itakuwezesha   kupata  namba   nyingi  sanaa   ulizowai  kuzitumia   muhimu  ni  kwamba  BONYEZA HAPA   baada  ya  apo  weka  taarifa  unazotumia  kuingilia  facebook  kama   vile (Email  na  Password)
ukishajaza   kwa  ukamilifu  utaona  namba  za  miaka  ya  nyuma   ulizowahi  kuzitumia



>>>Na  hizi  ndio  njia  rahisi   unazoweza  kuzitumia  kurudisha  namba  za watu  wako  wa  muhimu  ulizowahi  kuzipoteza


>>>Chakufanya   usisahau  kujoin    katika  channel   yetu   ya  Telegram bonyeza hapa  bila  kusahau  kusubscribe  youtube bonyeza hapa      ili  uwe  wakwanza  kupokea  taarifa  mbalimbali


>>>Kama   unaswali,ushauri,maoni  usisite  kutuandikia  kwenye  comment  hapo  chini
                                
                                                                                    ❤❤❤         


Comments

Popular posts from this blog

FAHAMU MAMBO YOTE KUHUSU DARKWEB/DEEPWEB

JINSI YA KUSHINDA BET YOYOTE YA MPIRA WA MIGUU (Football)